Thursday, October 17, 2013

Katekesi ya Papa- Tunasadiki katika Kanisa moja la Kitume kwa sababu.....



Katekesi ya Baba Mtakatifu Francisko kwa mahujaji na wageni, inaendelea kuitafakari sala ya Kanisa, ya Nasadiki, Jumatano hii akitazama kifungu Nasadiki katika Kanisa moja Takatifu na la Kitume. Na alianza kwa kuwahoji mahuajii na wageni wanaofika Roma kwa ajili ya hija , iwapo wamewahi kujiuliza ina maana gani kusema , Kanisa la Mitume na umuhimu wa Mitume Petro an Paulo, ambao waliyatoa maisha yao hapa Roma , kwa ajili ya kuifikisha Injili na kuishuhudia Injili . Lakini pia akasema, kuna zaidi katika hilo....

Papa alieleza na kusisitiza kwamba Kanisa la kitume, kwa sababu, lina uhusiano kina, katika urithi wake na Mitume kwa kwanza, lile kundi dogo la wanaume kumi na wawili walioitwa na Yesu kwa majina na kuishi nae na hatimae kuwatuma nje kuhubiri mafundisho yake ( Mk 3:13-19 ).

Papa alieleza na kufafanua maana ya neno “Apostolo” Mtume , kwamba ni neno la Kigiriki lenye maana ya "aliyetumwa ", ni mtu anayepeleka ujumbe wa kufanya jambo fulani. Ni neno lenye nguvu , na Mitume waliitwa na kuchaguliwa na Yesu kuendeleza kazi yake , ya kusali na kupeleka habari njema ya upendo wa kuokoa kwa watu wote. Hivyo sala na kutangaza Injili , inakuwa ni kazi ya kwanza muhimu ya mtume.. Papa ametaja hili ni muhimu kwa sababu, mara nyingi , wengi tunafikiri, kuwa mtume ni kwenda kuihbiri injili peke yake. Sivyo, ni kufanya kazi nyingi ...
Papa alifafanua, na kurejea siku za mwanzo wa Kanisa, akisema, pia kulikuwa na matatizo na vikwazo kwa mitume kulingana na wakati wao. Na hivyo walitayarisha watu wengine kama mashemasi, katika kukabilaina na kupungukiwa na wakati wa kuomba na kutangaza Neno la Mungu. Na kama tunavyo fikiri juu waandamizi wa Mitume - Maaskofu, na pia Papa,ambao nao pia wana tatizohili la kupungukiwa na muda wa kusali na kuitangaza Injili kama warithi wa mitume. kwa muono huo, Papa Francisko amesisitiza, kila muumini wa kanisa ni mtume, kwa sababu yumo ndani ya Kanisa la kitume. Na hivyo waamini wote wanatakiwa kuwa mitume katika kazi yake ya kuihubiri Injili ya wokovu wa ulimwengu.
Papa alieleza na kutaja mambo matatu katiak mafundisho yake kwamba, Kanisa ni la kitume kwa sababu, limejengwa juu ya maombi na mahubiri ya Mitume, kwa mamlaka yalitolewa kwa mitume na Kristo mwenyewe,kama alivyoandika Mtakatifu Paulo kwa Wakristo wa Efeso (2, 19-20) .
Pili Kanisa ni la kitume kwa sababu hudumisha ukamilifu wa mafundisho ya Kristu na njia za wokovu, kwa msaada wa Roho Mtakatifu , kama inavyo eleza Kateksimu ya Kanisa. Kanisa karne hadi karne limetunza hazina hii ya thamani, ambayo ni maandiko matakatifu , mafundisho , sakramenti, huduma ya wachungaji, ili twaamini waweze kuwa waaminifu kwa Kristo na kuyashiriki maisha yake.
Na tatu Kanisa ni la kitume kwa sababu, ujumbe wake uliodmanishwa kwa mitume ni ujumbe wa injili kwa dunia nzima, unaoendelea katika njia ya historia ya ujumbe huo, ambao Yesu aliukabidhi Mitume. Yesu mwenyewe alisema, nendeni mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi wangu, mkiwabatiza kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu, na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi . Na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote , mpaka mwisho wa ulimwengu "( Mt 28:19-20). Na hivyo Kanisa mizizi yake imo katika mafundisho ya Mitume, mashahidi wa kweli wa Kristo. Hivyo , leo tunapaswa kufurahia na kulipenda kanisa kama ni mahali pa kukutana na Bwana Mfufuka , aliyewatuma mitume wake , kuwaalika wote waliokutana nao kuufahamu ukweli wa Injili , furaha ya imani na ahadi ya maisha ya Milele, iliyotangazwa na Mitume. 

JUMAPILI DOMINIKA YA 29 ya Mwaka C. Tarehe 20/10/2013

JUMAPILI DOMINIKA YA 29 ya Mwaka C.
      RATIBA ZA IBADA 
KIGANGO CHA MH. ISIDORI BAKANJA- BOKO.
MISA YA KWANZA 12:15-2:00 ASUBUHI
MISA YA PILI     SAA 2:00-4:00 ASUBUHI
MISA YA TATU SAA 4:00-5:30 ASUBUHI
KIGANGO CHA MT. FRANCIS WA ASIZ-MBWENI 
MISA YA KWANZA SAA 1:10-3:00 ASUBUHI
MISA YA PILI SAA 3:00-4:30 ASUBUHI

KIGANGO CHA MT. RAFAEL-MBWENI MALINDI
SAA 1:00-3:00 ASUBUHI.
MISA YA PILI SAA 3:00-5:00

KIGANGO CHA ANTHONY WA PADUA-MBWENI TETA
MISA NI SAA 3:00-5:00.


MASOMO 

 Somo 1:Kut.17:8-13
Wakati huo Waameleki walitokea, wakapigana na Israel huko Refidimu. Musa akamwambia Yoshua, Tuchagulie watu, ukatoke upigane na waameleki; kesho nitasimama juu ya kilele kile, na ile fimbo ya Mungu nitakuwa nayo mkononi mwangu. Basi Yoshua akafanya kama Musa alivyomwambia, akapigana na Amaleki; na Musa na Haruni na Huri wakapanda juu ya kile kilima. Ikiwa Musa alipoinua mkono wake, Israel walishinda; na aliposhusha mkono wake, Amaleki walishinda. lakini mikono ya Musa ilikuwa mizito; bali wakatwa jiwe, wakaliweka chini yake akalikalia. Haruni na Huri wakaitegemeza mikono yake, mmoja upande huu na mmoja upande huu; mikono yake ikathibitika hata jua lilipokuchwa. Yoshua akamwaangamizaAmaleki na watu wake kwa ukali wa upanga.

SOMO 2: 2Tim.3:14 - 4:2
Wewe ukae katika mambo yale uliyofundishwa na kuhakikishwa, kwa maana unajua ni akina nani ambao ulijifunza kwao; na ya kuwa tangu utoto umeyajua maandiko matakatifu, ambayo yanaweza kukuhekimisha hata upate wokovu kwa Imani iliyo katika Kristo Yesu. kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki; ili mtu wa Mungu awe kamili, amekamilishwa apate kutenda kila tendo jema. nakuagiza mbele za Mungu, na mbele za Kristo Yesu, atakayehukumu waliohai na waliokufa; kwa kufunuliwa kwake na kwa ufalme wake; lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.

INJILI. :Lk.18:1-8
Yesu aliwaambia mfano, ya kwamba imewapasa kumwomba Mungu siku zote, wala msikate tamaa. Akasema, palikuwa na kadhi katika mji fulani, hamchi Mungu, wala hajali watu. Na katika mji huo palikuwa na mwanamke mjane, aliyekuwa akimwendea endea , akisema, nipatie haki na adui wangu. Naye kwa muda alikata tamaa; halafu akasema moyoni mwake, Ijapokuwa simchi Mungu wala sijali watu, lakini kwa kuwa mjane huyu ananiudhi, nitampatia haki yake, asije akanichosha kwa kunijia daima. Bwana akasema, sikilizeni asemavyo yule kadhi dhalimu. Na Mungu, je! Hatawapatia haki wateule wake wanaomlilia mchana na usiku, naye ni mvumilivu kwao? Nawaambia, atawapatia haki upesi; walakini, atakapokuja mwana wa Adamu, je! Ataiona imani duniani?
             
  1.  Maandalizi ya Dekania Cup yanaendelea kwa upande wa tImu ya Mpira wa  Pete jumamosi tarehe 19 wanacheza kutauta mshindi wa tatu dhidi ya bunju.


  1. tunawakumbusha vijana wote kuendelea kulipa ada kwa maendeleo ya chama chetu..... mapendo sana malipo kwa njia ya benk kwa jina na number hii :viwawa parokia ya boko account no 01524526820100 crdb bank tegeta branch
JIANDAE NA ZIARA YA UINJILISHAJI MWAKA 2014.....................

Thursday, October 10, 2013

Ziara ya Uinjilishaji JImbo la Mbulusehemu ya Promo www viwawaboko blogs...

MASOMO NA MATANGAZO YA J2 YA DOMINIKA YA 23 MWAKA C TAREHE 13/10/13

JUMAPILI DOMINIKA YA 28 ya Mwaka C.
      RATIBA ZA IBADA 
KIGANGO CHA MH. ISIDORI BAKANJA- BOKO.
MISA YA KWANZA 12:15-2:00 ASUBUHI
MISA YA PILI     SAA 2:00-4:00 ASUBUHI
MISA YA TATU SAA 4:00-5:30 ASUBUHI
KIGANGO CHA MT. FRANCIS WA ASIZ-MBWENI 
MISA YA KWANZA SAA 1:10-3:00 ASUBUHI
MISA YA PILI SAA 3:00-4:30 ASUBUHI

KIGANGO CHA MT. RAFAEL-MBWENI MALINDI
SAA 1:00-3:00 ASUBUHI.
MISA YA PILI SAA 3:00-5:00

KIGANGO CHA ANTHONY WA PADUA-MBWENI TETA
MISA NI SAA 3:00-5:00.


MASOMO 

 Somo 1:2Fal.5:14-17
Naamani alishuka, akajichovya mara saba katika Yordani, sawasawa na neno lake yule mtu wa Mungu; nayo nyama ya mwili wa mtoto mchanga, akawa safi. Akamrudia yule mtu wa Mungu, yeye na mafuatano yake yote. akaja akasimama mbele yake; akasema sasa tazama, najua ya kwamba hakuna Mungu duaniani mwote, ila katika Israel, basi nakuomba upokee mbaraka kwa utumwa wako. lakina akasema, kama Bwana aishivyo, ambaye nimesimama mbele yake, sipokei kitu. Akamshurutia apokee; lakini akakataa. naamani akasema, kama sivyo, lakini mtumwa wako na apewe mzigo wa udongo wa baghala wawili; kwa maana mtumwa wako hatatoa tena sadaka ya kuteketezwa wala dhabihu kwa miungu mingine, ila kwa Bwana.

SOMO 2: 2Tim.2:8-13
Mkumbuke Yesu Kristo, aliyefufuka katika wafu, wa uzao wa Daudi kama inenavyo Injili yangu. Nami katika hiyo nimeteswa hata kufungwa kama mtenda mabaya; lakini neno la Mungu halifungwi. Kwa ajili ya hilo nastahimili mambo yote, kwa ajili ya wateule, ili wao nao waupate wokovu ule ulio katika kristo Yesu, Pamoja na utukufu wa Milele.
 Ni neo la kuaminiwa. kwa maana, kama tukifika pamoja naye, 
Tutaishi pamoja naye pia: kama tukistahimili tutamiliki pamoja naye;
Kama tukimkana yeye, yeye naye atatukana sisi, 
Yeye hudumu wa kuaminiwa. Kwa maana hawezi kujikana mwenyewe.

INJILI. :Lk.17:11-19
Yesu alipokwenda njiani kwenda Yerusalemu, alikuwa akipita katikati ya Samaria na Galilaya. Na alipoingia katika kijiji kimoja, alikutana na watu kumi wenye ukoma; wakasimama mbali, wakapaza sauti wakisema, Ee Yesu, Bwana mkubwa, uturehemu! Alipowaona aliwaambia, Enendeni, mkajioshe kwa makuhani. Ikawa walipokuwa wakienda walitakasika a mmoja wao alipoona kwamba wamepona, alirudi, huku akimtukuzaMungu kwa sauti kuu; akaanguka kifudifudi miguuni pake, akamshukuru; naye alikuwa msamaria. Yesu akamjibu, akanena, Hawakutakaswa wote kumi? Wale kenda wako wapi? je! Hawakuonekana waliorudi kumpa Mungu Utukufu ila mgeni huyu? akamwambia, Inuka, nenda zako, Imani yako Imekuokoa.
             
  1.  Maandalizi ya Dekania Cup yanaendelea kwa upande wa tImu ya Mpira wa  Pete.


  1. tunawakumbusha vijana wote kuendelea kulipa ada kwa maendeleo ya chama chetu..... mapendo sana malipo kwa njia ya benk kwa jina na number hii :viwawa parokia ya boko account no 01524526820100 crdb bank tegeta branch
JIANDAE NA ZIARA YA UINJILISHAJI MWAKA 2014.....................

Saturday, October 5, 2013

Saint Gaspar del Bufalo History



Saint Gaspar del Bufalo
Gaspare del Bufalo.jpg
Confessor
Born January 6, 1786
Rome
Died December 28, 1837
Rome
Honored in Roman Catholic Church
Canonized June 12, 1954, Rome by Pope Pius XII
Feast December 28
Saint Gaspar del Bufalo (January 6, 1786 – December 28, 1837), also known as Gaspare del Bufalo, was a Roman Catholic priest and the founder of the Missionaries of the Precious Blood.

Life

Gaspar del Bufalo was born in Rome on the Feast of the Epiphany, January 6, 1786. He was baptized that same day and given the name Gaspar Melchior Balthazar, the traditional names of the magi who visited the child Jesus. The son of Annunziata and Antonio del Bufalo, he grew up in the city of Rome, in the servants' quarters of a noble family, where his father worked as chef.
His father was a failed entrepreneur who had dabbled in the theater and in professional soccer before taking a position as a cook in the household of the Altieri family, whose palace was across from the Church of the Gesù in Rome.
Because of his delicate health, his pious mother had him confirmed at the tender age of one and a half years. As he was suffering from an incurable malady of the eyes, which threatened to leave him blind, prayers were offered to St. Francis Xavier for his recovery. Through the influence of his mother, Annunziata, he became greatly devoted to Saint Francis Xavier, whose relic is prominently displayed on an altar of the Gesù. In 1787, he was miraculously cured, wherefore he cherished in later life a special devotion to the great Apostle of India, and selected him as the special patron of the congregation which he later founded.
Gaspar was also active in several ministries. He visited the sick and the poor, often and founded a young persons’ religious organization whose members prayed and did charitable work together. He was ordained to the priesthood in the diocese of Rome in 1808. soon after Gaspar formed an evening society for the laborers and farm workers who came into Rome from the countryside to sell their wares. He provided catechism for orphans and children of the poor; and set up a night shelter for the homeless.
Along with other clergy who refused to take the oath of allegiance to Napoleon Bonaparte in 1808 after the deportation of Pope Pius VII, he was sent into exile to northern Italy and imprisoned for four years. Upon his return to Rome in 1814, he considered joining the Jesuits, who had recently been reestablished. However, in view of the needs of the time and at the request of Pius VII, he engaged in the ministry of preaching missions to the people in order to reestablish some order in the midst of the chaos of the time.

Missionaries of the Precious Blood

Gaspar
Despite facing considerable difficulties, in 1815 he founded a society of priests, the Missionaries of the Precious Blood, at the abbey of San Felice in Giano. Umbria. With the help of local people, Gaspar worked to repair the abandoned 10th century monastery.
The year 1821 was a time of great lawlessness in the Papal States and many towns were out of the control of the civil authorities. Bandits controlled many of the towns in the coastal provinces. Cardinal Cristaldi, papal treasurer and advisor to Pope Pius VII suggested that Gaspar and his new band of missionaries go into the towns and provinces where the bandits lived and establish mission houses. There they were to preach the Word, establish churches and chapels, and see to the continued instruction of the people. Between 1821 and 1823 six new mission houses were opened. Gaspar and his companions went out and preach the merits of the Precious Blood. They called the people to repentance and to return to faithfulness. They would preach on the street corners at night. They instructed the children. Armed with only the crucifix, they went into the hills, where Gaspar negotiated a piece with the banditi.
Although Gaspar was very popular in his native city, he was not without enemies. His activity in converting the "briganti", who came in crowds and laid their guns at his feet after he had preached to them in their mountain hiding-places, excited the ire of the officials who profited from brigandage through bribes and in other ways. These enemies almost induced Leo XII to suspend del Bufalo.
He also faced ecclesiastical opposition. One major objection to the new society was that its name, The Society of the Precious Blood, was considered unecclesiastical. Gaspar was accused of disregarding Canon Law and the mission cross and chain that the members wore was completely untraditional. This opposition began under the reign of Pope Pius VII (around 1820) who had been a strong support of the society at its founding in 1815. This opposition became so strong that the successor to Pius VII, Leo XII was positively adverse to the community. It is noted that this was at a time when Gaspar was being more and more open in his criticism of abuses in the Church and the government of the Papal States. St. Gaspar felt that this opposition was more of a personal attack on himself and so he offered to step down as moderator of the community so that things could be smoothed over. Fortunately, this was not needed as the situation with Leo XII was resolved after a meeting between the two of them.
His missionary efforts were extremely dramatic. One contemporary, the Passionist priest and bishop Saint Vincent Strambi, described his preaching as being "like a spiritual earthquake." He was also a friend of Saint Vincent Pallotti, founder of the Pallotines, who assisted at Gaspar's deathbed. He is particularly known for his devotion to the Precious Blood of Christ and for spreading this devotion during his lifetime.
Until his death on 28 December 1837, he worked tirelessly to re-evangelize central Italy, especially the Papal States. He was well known for his eloquence in preaching, his devotion to the poor (especially the Santa Galla Hospice in Rome), and his work with the brigands of southern Lazio.
In 1836 his strength began to fail. He had given his last mission in Rome at the Chiesa Nuova in 1837. Although fatally ill, he hastened to Rome, where the cholera was raging, to administer to the spiritual wants of the plague-stricken. He returned to Albano but went again to Rome at the suggestion of Cardinal Franzoni, the cardinal protector of the Congregation, in December 1837. It proved too much for him, and he succumbed in the midst of his labours on 28 December, 1837.
His funeral was held in Rome at the church of Sant'Angelo in Pescheria, near the Teatro di Marcello, and he was buried in Albano. Later, his body was transferred to the house of the Missionaries on the Via dei Crociferi in Rome (Santa Maria in Trivio), where it remains today.

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR