Sunday, September 27, 2015

LOWASSA ALIVYOTUA HAI KWENYE UZINDUZI WA KAMPENI WA JIMBO HILO

Mgombea Ubunge Jimbo la Hai na Mwenyekiti wa Chama cha Chadema Akiwahutumia Wananchi wa Hai wakati wa Ufunguzi wa Kampeni zake
Mgombea Uraisi kwa Tiketi ya Chadema na Mwavuli wa Ukawa Edward Lowasa Akisalimiana na Mwanyekiti wake Freeman Mbowe siku ya Uzinduzi wa Kampeni Jimbo la Hai  
 

Saturday, August 1, 2015

Matokeo ya kura za Maoni CCM 2015

matokeo ya kura za maoni zilizopigwa nchi nzima leo kuchagua wagombea ubunge  na udiwani kwa ticketi ya nchi nzima ni kama yafuatavyo

Tuesday, July 28, 2015

UZINDUZI WA KITUO CHA HIJA BOKO

Tarehe 12/09/2015, kituo cha hija ya vijana wa jimbo kuu la Dar es salaam, kumbukumbu ya Msalaba kuombea amani ulimwenguni. kitafunguliwa Rasmi na Polycarp Pengo.

Picture ya Jengo la Kituo likiwa kwenye hatua za mwisho:





Monday, July 27, 2015

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR