Monday, January 7, 2013

MWaka WA IMANI

Tarehe 12/01/2013 Dekania Ya Gasper watakabidhiwa Msalaba wa Imani..tayari kwa kuupitisha kila Parokia...Na utaanzia kwenye Parokia ya Mwenye heri Isidori Bakanja Boko ambapo utafika siku hiyo ya Jumamosi saa nane mchana ukitokea Pugu.
 Hivyo waamini wote wa Parokia ya Boko tujitokeze kwa wingi hiyo siku kuupokea huo Msalaba ambao utapita katika Jumuiya zote na wale wenye Bibilia na Katekisimu ya Kanisa Katoliki zitabarikiwa.CLICK hapa kusoma zaidi kuhusu mwaka wa IMANI

No comments:

Post a Comment

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR