Sunday, February 24, 2013

MALENGO YA ZIARA YA MBULU

Lengo kubwa la ziara hii ni kwaona Vijana wenzetu na kushirikiana nao jinsi ya kueneza Injili  pia kujenga mashirikiano katika maswala ya kiuchumi na maendeleo kwa ujumla pia tutapata nafasi ya kujifunza tamaduni mpya kutoka katika makabila mbali mbali yalipo huko

Zaidi tutafika katika kanisa Kuu la Jimbo la Mbulu na kujionea ukubwa wake ambapo ndilo kanisa kubwa kuliko yote hapa Africa Mashariki.

mwisho tutaenda Mbuga ya wanyama ya Ngorongoro kuona uzuri wa nchi Yetu na Maajabu ya Mungu.

 KUWA TAYARI NA ANZA MAANDALIZI SASA KWA KUJAZA FORM NA KUWAKILISHA FEDHA YAKO NAFASI NI KWA VIJANA 60 TU.

No comments:

Post a Comment

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR