Sunday, February 24, 2013

Jimbo Katoliki la Mbulu

Jimbo katoliki la Mbulu (kwa Kilatini Dioecesis Mbuluensis) ni mojawapo kati ya majimbo 33 ya Kanisa Katoliki nchini Tanzania na kama hayo yote linafuata mapokeo ya Kiroma.

Kikanisa linahusiana na jimbo kuu la Arusha.
Askofu wake ni Beatus Kinyaiya.

Historia

  • 1943: Kuanzishwa kwa Apostolic Prefecture ya Mbulu kutokana na Apostolic Vicariate ya Dar-es-Salaam
  • 1952: Kupandishwa cheo kuwa Apostolic Vicariate ya Mbulu
  • 25 Machi 1953: Kufanywa dayosisi

Uongozi

  • Maaskofu wa Mbulu
    • Beatus Kinyaiya (since 2005)
    • Juda Thadaeus Ruwa’ichi OFMCap (1999 – 2005)
    • Nicodemus Atle Basili Hhando (1971 – 1997)
    • Patrick Winters SAC (1953 – 1971)
  • Vicar Apostolic wa Mbulu
    • Patrick Winters SAC (1952 – 1953)
  • Prefect Apostolic wa Mbulu
    • Patrick Winters SAC (1944 – 1952)

Takwimu

Eneo ni la kilometa mraba 16,057, ambapo kati ya wakazi 995,000 (2006) Wakatoliki ni 269,620 (27.1%).

No comments:

Post a Comment

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR