Saturday, November 29, 2014

SEMINA YA MWAKA WA FAMILIA YA FANA JANA

Vijana wa Parokia za Boko na Bunju Jana waliaanza Kongamano la Ujirani Mwema, kwa semina ya mwaka wa Familia.
Semina hiyo iliongozwa na Padre Nicolaus Ngowi, Padre ambaye ni Mlezi wa Vijana Parokia ya Boko, akieleza maandalizi ya kwa vijana kuingia kwenye sakramenti ya Ndoa, ni vizuri maandalizi yafanyike vizuri, na uamuzi wa kuoa au kuolewa si vizuri uwe kwa sababu,
ikieleza zaidi alisema Familia nyingi kwa sasa zimepoteza Tuna za kikristo, Tunajua kabisa kuwa familia ni kanisa dogo la nyumbani, lakini kwa sasa Mababa wengi hawewezi hata kuongoza sala ya asubuhi, hii ni changamoto ambayo inayowafanya vijana wengi kukosa maadili mazuri.
swala la wazazi kutokuwajibika kwa watoto wao pia inachochea anguko kubwa la maadili, wababa wamesahau majukumu yao, akiwakumbusha kuwa wao ni maparoko wa familia, hawatakiwi kulegelega.......

itaendelea

No comments:

Post a Comment

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR