Tuesday, October 27, 2015

JIMBO LA KASULU MJINI LAARUDI CCM MACHALI CHALI

Mgombea ubunge jimbo la Kasulu mjini kupitia chama cha ACT Wazalendo, Moses Machali amepoteza jimbo hilo baada ya mgombea wa CCM Daniel Sanze kuibuka mshindi Moses Machali ndiye aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Kasulu mjini, amepata kura 22,512 na mshindi Daniel wa CCM amepata kura 25,336

No comments:

Post a Comment

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR