Tuesday, February 26, 2013

DEKANIA YA MT.GASPER DE BUFALO-KUNDUCHI

Dekania ya Mt Gasper inazijumuisha parokia zilizipo 
Mbezi Beach, Kunduchi, Tegeta, Boko na Bunju.

Dekania Hii inajumla  ya Parokia  kumi mpaka sasa:

  1.  Parokia ya Bikira Maria Mama wa Huruma -Mbezi Beach

  2. parokia ya Mt. Dominick - Mbezi Juu

  3. Parokia ya Mt. Gasper De Bufalo- Mbezi Chini(Machakani)

  4. Parokia ya MT. Agustino -Salasala

  5. Parokia Mt. Nicolous- Kunduchi

  6. Parokia ya Damu Takatifu-Tegeta

  7. Parokia ya Mt.Adrea Bahari Beach

  8. Parokia ya Madale

  9. Parokia ya Mwenye Heri Isidori Bakanja -Boko

  10. Parokia ya Bikira Maria wa Mlima Karmel - Bunju

Ndani ya Dekania hii kuna Vituo vya Hija viwili(2)

Kituo cha Hija ya Vijana Jimbo la Dar es salaam- Parokia ya Boko

Kituo cha Hija ya Shirika la Damu Takatifu ya Yesu - Parokia ya Mt. Gasper- Mbezi Beach 

1 comment:

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR