Monday, August 20, 2012

Thursday, August 16, 2012

SHUKRANI ZA TAMASHA

Tunamshukuru Mungu kwa kutujalia amani na upendo kipindi chote cha Tamasha la Vijana Parokia ya Boko.
   Pia shukrani zetu za dhati ni kwa Paroko wetu Padre Majeta walezi wetu Padre Dismas, sister Sabina na Fratel Paul na kwa upande wa walei tunawashukuru Baraza la walei parokia pamoja na halmashauri yake yote,Tunawashukuru sana.
  mwisho ni kwa vijana wote walioshiriki na hongera sana kwa timu ya kigango cha Mbweni walioweza kuchukua kombe la mpira wa miguu na Kigango cha Boko waliweza kuchukua kikombe cha mpira wa netball.

Saturday, August 4, 2012

MAJETA CUP

                               hatimaye Vikombe vipo mezani vinawasubiri washindi

teheee teheee Amini sasa



this iz it

Paroko wa Parokia ya Boko Padre Aldolph I.L. Majeta, CPPS akiwa na vikombe vya washindi wa ligi ya parokia ya boko kwa netball na football kombe hili litatolewa jumapili kwenye kilele cha Tamasha la vijana na sikuku ya somo wa parokia yetu Mwenye Heri Isidori Bakanja.

Friday, July 20, 2012

FURAHA%@!!!!!!

    VIWAWA kigango cha Bunju wakiwa na mlezi wa VIWAWA Parokia ya Boko Fratel Paul

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR