Wednesday, July 18, 2012

KUTOKA VIWANJANI
Jana zilichezwa mechi za  ligi ya Parokia ya Boko maarufu kama Majeta cup, mechi ambayo ilikuwa na msisimko mkubwa ilikuwa kati ya Bunju na Mbweni iliyochezwa katika uwanja wa Mbweni, majigambo yalikuwa mengi kabla ya mechi ,mvuto mkubwa ukiwa kwa makocha wa timu hizo ndg James Nkii kocha wa timu ya Bunju, na ndg Fabian Masanja kocha wa timu ya Mbweni. mpira ulikiwa upo sawa kwa timu zote mpaka wakati wa mapumziko timu hizi zilikuwa hazijafungana, kipindi cha pili kilianza kwa nguvu sana, huku kila timu ikifanya mabadiliko ambayo kwa upande wa mbweni, yalizaa matunda kwani walipata magoli wawili ya haraka, dakika chache kabla mpira kuisha bunju nao waliamkaa na kupata goli moja la kufutia machozi mwisho wa mpira matokeo yalikuwa Mbweni 2 na Bunju 1

No comments:

Post a Comment

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR