Tuesday, June 18, 2013

MSIMAMO WA LIGI YA PAROKO CUP

Zikiwa zimepita siku mbili tangu ligi Ya paroko cup ianza, timu zimekuwa zikijiandaa kwa nguvu sana hivyo kufanya mashindano yazidi kuwa na joto, huku kila mmoja akitamba kuwa bigwa kwa mwaka huu.

kesho kuna mechi moja tu ya kundi B kati ya ANTHONY WA PADUA VS MARIA DEL MATHIS MECH ITAFANYIKA MBWENI MPIGI KUANZIA SAA KUMI JIONI na Ijumaa kutakuwa na mechi ya Marudiano kati ya Mbweni vs St. Gasper katika uwanja wa rafael

MSIMAMO WA LIGI YA Paroko cup 2013


PAROKO CUP 13 :KUNDI A
TIMUMechiImeshindaImefungwaSare Magolimagoli waliofungwapoint
MBWENI000000 0
DAMU TAKATIFU001000 0
RAFAEL000000 0


MSIMAMO WA LIGI YA Paroko cup 2013


PAROKO CUP 13 :KUNDI
TIMUMechiImeshindaImefungwaSare Magolimagoli waliofungwapoint
ANTHONY WA PADUA1
001
3
3
1
MARIA DEL MATHIAS1
00
03
3
1
RAFAEL000000 0

No comments:

Post a Comment

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR