Tuesday, June 18, 2013

Papa atoa wito: Semeni ndiyo kwa maisha na hapana kwa Kifo


Papa Fransisko ametoa wito kwa watu wote kuyatetea maisha na hapana kwa kifo. Kusema ndiyo kwa maisha na kukataa kila kitendo kinachotaka kukatisha uhai , kusema hapa kubwa kwa kifo. Papa alitoa wito huu wakati wa hotuba yake siku ya Jumapili asubuhi, ambamo Mama Kanisa aliadhimisha SIKu ya Injili ya Maisha “ Evangelium Vitae” .

Katika homili yake aliyoitoa mbele ya umati wa watu wapatao 200,000 waliofurika katika Uwanja wa Kanisa Kuu la Mtakatifu Petro , kuhudhuria Ibada ya Misa iliyoongozwa na Papa, na pia kwa ajili ya sala Ya Malaika wa Bwana, ibada na sala zilizofanyika katika mtazamo wa maadhimisho Mwaka wa Imani, siku ililega zaidi majitoleo ya Injili ya Maisha.

Katika homilia yake , Papa Francis, alitafakari Maandiko Matakatifu yanavyotuambia mara kwa mara, jinsi Mungu Mmoja Hai, ndiye mwenye kutoa maisha.

Hata hivyo, alisema kwamba "mara nyingi, watu hawachagui maisha, hawaikubali Injili ya Maisha bali hujiachia wenyewe kuongozwa na itikadi na njia yapotofu katika kufikiri, zenye kuwekea maisha kibambaza, njia zisizo heshimu maisha, kwa sababu wamekubali kuongozwa na nguvu za ubinafsi katika utafutaji wa maslahi faida, mamlaka na kujijifurahisha , na si kwa ajili ya upendo kwa wengine , au kujali manufaa ya wengine.

Baba Mtakatifu aliendelea kusema kuwa, watu wana ndoto za kujenga upya "Mnara wa Babeli", mji wa mtu asiyekuwa na Mungu. Wanaamini kwamba kumkataa Mungu, kuukataa ujumbe wa Kristo na Injili ya Maisha, huwaongoza kwa namna fulani katika furaha, kuwa na uhuru kamili wa kutimiza malengo yao ya kibinadamu. Na kama Kama matokeo yake , Papa aliendelea, Mungu aliye hai huondolewa na badala yake huwekwa miungu mbadala mfululizo ya kibinadamu ambayo hulewesha mtu katika uhuru bandia , ambao mwisho wake hujenga aina mpya za mfumo wa utumwa na kifo.

Papa alimalizia homilia yake na wito kwa waamini, kuyaonamadhara hayo ni hivyo waseme Ndiyo kwa Mungu ambaye ni Upendo. Ndiyo kwa Maisha ya kushikamana na Mungu ndiye uhuru wa kweli na hamfadhaishi mtu.
Mara baada ya Ibada ya misa Takatifu, Papa aliongoza sala ya Malaika wa Bwana. Katika hotuba yake fupi, Papa alielekeza mawazo yake katika mifano ya watu walioyatetea maisha kikamilifu, akiangalisha katika tukio la Siku ya Jumamosi ambamo Mama Kanisa alimtagaza kuwa Mwenye Heri , baba wa watoto saba wa Capri Italy, aliyeuawa katika kambi za msongamano za Nazi mwaka 1944, ambaye aliyaokoa maisha mengi katika kambi hiyo , kabla ya kupoteza yake mwenyewe.

Papa pia aliitumia nafasi hiyo kusalimia washiriki wa Mkutano wa hadhara wa wanachama wa Harley-Davidson, kwa ajili ya kutumia kwa miaka 110, tangu kutengenezwa kwa pikipiki, yenye nembo hiyo ya Harley Davidson, ambayo inajulikana kuwa aina ya kipekee na mashuhuri Marekani. Kwa ajili ya sherehe hii zaidi ya wapanda pikipiki 100,000, walikusanyika mjini Roma mwishoni mwa wiki hii. Kati yao 1400 wakiwa na pikipiki zao , walibarikiwa na Papa wakati huo wa sala ya Malaika wa Bwana.




MSIMAMO WA LIGI YA PAROKO CUP

Zikiwa zimepita siku mbili tangu ligi Ya paroko cup ianza, timu zimekuwa zikijiandaa kwa nguvu sana hivyo kufanya mashindano yazidi kuwa na joto, huku kila mmoja akitamba kuwa bigwa kwa mwaka huu.

kesho kuna mechi moja tu ya kundi B kati ya ANTHONY WA PADUA VS MARIA DEL MATHIS MECH ITAFANYIKA MBWENI MPIGI KUANZIA SAA KUMI JIONI na Ijumaa kutakuwa na mechi ya Marudiano kati ya Mbweni vs St. Gasper katika uwanja wa rafael

MSIMAMO WA LIGI YA Paroko cup 2013


PAROKO CUP 13 :KUNDI A
TIMUMechiImeshindaImefungwaSare Magolimagoli waliofungwapoint
MBWENI000000 0
DAMU TAKATIFU001000 0
RAFAEL000000 0


MSIMAMO WA LIGI YA Paroko cup 2013


PAROKO CUP 13 :KUNDI
TIMUMechiImeshindaImefungwaSare Magolimagoli waliofungwapoint
ANTHONY WA PADUA1
001
3
3
1
MARIA DEL MATHIAS1
00
03
3
1
RAFAEL000000 0

Saturday, June 15, 2013

MATANGAZO YA DOMINIKA TAREHE 16/06/13



  JUMAPILI TAREHE 16/06/2013
      RATIBA ZA IBADA 
KIGANGO CHA MH. ISIDORI BAKANJA- BOKO.
MISA YA KWANZA 12:30-2:00 ASUBUHI
MISA YA PILI     SAA 2:00-4:00 ASUBUHI
MISA YA TATU SAA 4:00-5:30 ASUBUHI
KIGANGO CHA MT. FRANCIS WA ASIZ-MBWENI 
MISA YA KWANZA SAA 1:10-3:00 ASUBUHI
MISA YA PILI SAA 3:00-4:30 ASUBUHI

KIGANGO CHA MT. RAFAEL-MBWENI MALINDI
SAA 1:00-3:00 ASUBUHI.
MISA YA PILI SAA 3:00-5:00

KIGANGO CHA ANTHONY WA PADUA-MBWENI TETA
MISA NI SAA 3:00-5:00.


MIKUTANO
kutakuwa na kikao cha halmashauri ya Walei Parokia ya Boko kuanzia saa 4:00 asubuhi, wajumbe wa kikao hichi ni viongozi wote wa vigango, Mwenyeviti wote wa vyama vya kitume na Kamati tendaji.

MATANGAZO
  1.  Vijana wote mnaoenda Mbulu mnatakiwa kukutana Parokiani boko saa 4:00 asubuhi ukumbi wa chekechea.
  2. Waamini wote unakaribishwa kwenye uzinduzi wa Paroko cup kesho saa nane mchana Parokiani Boko
  3. tunatarajia kufanya sherehe ya kuwapongeza mashemasi wetu Paul, Victor na Pascal kwa kupata daraja la upadre sherehe hizo zitafanyika parokiani bunju tarehe 08/07/2013 kila mshiriki anatakiwa kuchangia Tshs 5000 kwa ajili ya chakula na vinywaji.
  4. Maandalizi ya Tamasha la Vijana kwa mwaka 2013 yameanza na kila kijana anatakiwa kulipa tshs 7000 mwisho wa kuwakilisha mchango ni tarehe 02/08/2013 unawaza kufanya malipo kwa njia ya benk kwa jina na number hii :viwawa parokia ya boko account no 01524526820100 crdb bank tegeta branch
  5.  
  6.  
  7. tunawakumbusha vijana wote kuendelea kulipa ada kwa maendeleo ya chama chetu..... mapendo sana

Thursday, June 6, 2013

Picture za Mkutano Mkuu wa Halmashauri ya VIWAWA Parokia ya Boko

 viongozi wakiwa katika semina fupi ya uongozi


 Masista walezi genny na Sabina wakisikiliza kwa makini kabisa
 Mkufunzi wetu Sista Catherine Oiso akitoa semina uongozi kwa halmashauri ya Viwawa boko
 Mkufunzi akiendelea kushoto ni Mhazini wa Parokia Happy mwikola na Katibu wa parokia Timoth Japhet
 uchovu wa semina na umakini wa viongozi hodari wenye hari ya kuongoza
 mhazini wa Parokia ya Bunju akiwa anafuatilia sisi bado ni ndugu na tunategemeana na kushirikiana







 Semina imeisha sasa Mwenyekiti wa Parokia  Ndugu Abel Reginald anafungua mkutano mkuu wa nusu mwaka
 katibu wa Parokia akisoma ripot ya chama kwa kipindi cha nusu mwaka
 Halmashauri ya VIWAWA Kigango cha Boko wakiwa na Sista Genny
 Halmashauri ya VIWAWA Kigango cha Mt. Raphael wakiwa na Masista walezi
 Halmashauri ya VIWAWA Kigango cha Mbweni wakiwa na Masista walezi
 Halmashauri ya VIWAWA Parokia ya Boko:kutoka kulia aliyesimama ni mwenyekiti wa Kigango cha mbweni Fabian Masanja, wa pili kutoka kushoto aliyesimama ni Mwenyekiti wa Kigango cha Mt. Rafael Annastela Ishebabi na watatu kutoka kushoto aliyekaa ni Mwenyekiti wa Kigango cha Boko Dickson

Friday, May 24, 2013

Is there life after death?




Question: "Is there life after death?"

Answer: Is there life after death? The Bible tells us, "Man that is born of a woman living her day is not excessive, and full of trouble. He cometh forth like a flower, then you cut; fleeting as a shadow, and continueth not ... If a man die, shall He will be alive again "(Job 14:1-2,14)?

Like Job, almost all of us have faced the issue like this. What exactly happens to us after death? What is missing only exist? Is life is just to die and rise again outpatient world popularity? Do all men go unto one place, or perhaps a different place? Is there really heaven and hell, or is it just words independently set?

The Bible tells us that it is not only life after death, but there is eternal life with great glory "There limestone eye, nor ear heard, neither have entered into the heart of man, the things which God hath prepared for them that love him'' (1 Corinthians 2:9) Jesus Christ God in the flesh, came to earth to give us the gift of eternal life. "He was wounded for our transgressions, he was bruised for our iniquities: the chastisement of our peace was upon Him, And by His stripes we are healed'' (Isaiah 53:5).

Jesus took the punishment he deserves every one of us and he gave his life. Three days later, he confirmed his victory over death by rising from the grave, in spirit and in body. He remained in the world for a period of forty days and witnessed by thousands of people before ascending to his home in Heaven eternal life. Romans 4:25 says, "He was for our sins and was raised to justification.''

The resurrection of Christ was a matter  apostle Paul challenged them that they should ask those people who were there when it happen make sure as it is not true. Nobody can compete on the same facts. Resurrection is a solid foundation (the cornerstone) of the Christian faith, because Christ rose from the dead, we too can be confident that we will rise.

Paul warned the early Christians who did not believe it: "Now if Christ be preached that he rose from the dead, why are some of you say that there is no resurrection of the dead? But if there is no resurrection of the dead, then is Christ not risen "(I Corinthians 15:12-13).

Christ was only the first of a great harvest of those who will be raised from the dead. Death entered the world kuputia one man, Adam, who we all are his family. but those who have made the sons of God through faith in Jesus Christ will be given new life (I Corinthians 15:20-22). As God alivyofufua body of Jesus, so is our body itakavyofufuliwa Jesus returns (I Corinthians 6:14).

Although all of us will have been resurrected, we will all go to heaven together. Someone must make the decision to choose now on the place he wants to go to his destiny. The Bible says that we should die once and after death the judgment (Hebrews 9:27). Those who are sanctified are going to eternal life in heaven, but unbelievers will be sent to eternal damnation or hell (Matthew 25:46).

Hell, like heaven, is not a place to fear patajwapo only but obvious place. Here is the place where the unrighteous will meet the wrath of the infinite God. Watavumilia suffering emotionally, mentally, and physically being in their right mind, and they feel ashamed and remorseful for their evil deeds.

Hell is described as a black hole (Luke 8:31, Revelation 9:1), and the lake of fire burning with brimstone amabpo will be included will be tormented day and night forever and ever (Revelation 20:10). There shall be weeping and gnashing of teeth, indicating intense bitterness and anger (Matthew 13:42). Here is where the worm does not die nor fade coal (Mark 9:48). God has no pleasure in the death of an evil man, but you want wazighairi their wicked ways to live (Ezekiel 33:11). But he will not force us to accept, we decided to reject him. They should give us our chosen - lived apart.

Life on earth is now just test it is a preparation for the future. For believers, this is eternal life existed before the presence of God. Then is how we fanyinyika righteous and worthy to receive this eternal life? There is only one way - through faith and trust in God's Son, Jesus Christ. Jesus said, "I am the resurrection and the life. Waniaminio I wajapokufa will live. Wanapawa eternal life by faith in me and will not perish ... "(John 11:25-26).

The gift of eternal life is available and is free to all but deny themselves the pleasures certain costs around the world and offer sacrifice to God. "And all who believe in God's Son have eternal life. Wasiomtii son shall have eternal life, but the wrath of God abideth on them "(John 3:36). Hatutapatiwa opportunity to repent of our sins after death that we see God face to face, but we have faith alone. He wants tumjilie now by faith and love. When we take that Jesus' death on the cross is the full payment for our sins against God, we are promised a good life is not only the world but also eternal life before Christ.

If you want to accept Jesus Christ as your savior, here is a simple request. Remember, saying this prayer or alone did not takuokoa from your sins but by faith in Christ alone. This request is the only way to describe the presence of God on faith and thank you for your offer of salvation through. "God, I know that I have sinned and I have to face judgment. But Jesus Christ took my punishment so that through faith in Him I could pardon of my sins. Canceling now to turn from my sins. I put my trust in Him for my salvation. Thank You for Your wonderful grace and forgiveness - the gift of eternal life! Amen! "

Have you made a decision for Christ because of what you have read here? If so, please click on the "I have accepted Christ today"

MSIMU WA 2013/2014

RATIBA YA KOMBE LA VIWAWA PAROKIA (PAROKO CUP)MPIRA WA MIGUU

KUNDI A

KIGANGO CHA MT.FRANCIS-MBWENI

KIGANGO CHA MT. GASPER DEL BUFFALO-BOKO

KIGANGO CHA DAMU AZIZI YA YESU KRISTU-BOKO



TAREHEMECHI KUNDI AMUDAUWANJA
16/06/13DAMU TAKATIFU VS MBWENI16:00 JIONIUWANJA WA BOKO
23/06/2013 ST.GASPER VS DAMU TAKATIFU16:00 JIONIUWANJA WA BOKO
07/07/2013MBWENI VS ST.GASPER16:00 JIONIUWANJA WA MBWENI
MWISHO WA MZUNGUKO WA KWANZA
14/07/2013DAMU TAKATIFU VS ST.GASPER16:00 JIONIUWANJA WA BOKO
21/07/2013MBWENI VS DAMU TAKATIFU 16:00 JIONIUWANJA WA MBWENI
28/07/2013ST.GASPER VS MBWENI 16:00 JIONIUWANJA WA BOKO



KUNDI B

KIGANGO CHA MT. MARIA DE MATHIAS- BOKO

KIGANGO CHA MT. ANTHONY WA PADUA-MBWENI TETA

KIGANGO CHA MT. RAFAEL MBWENI MALINDI



TAREHEMECHI KUNDI AMUDAUWANJA
16/06/13ANTHONY WA PADUA VS ST. MARIA DEL MATHIAS16:00 JIONIUWANJA WA MBWENI TETA
23/06/2013 ST.RAPHAEL VS ST.ANTHONY WA PADUA16:00 JIONIUWANJA WA MBWENI MALINDI
07/07/2013ST. MARIA DEL MATHIAS VS ST.RAPHAEL16:00 JIONIUWANJA WA BOKO
MWISHO WA MZUNGUKO WA KWANZA
14/07/2013ST.ANTHONY WA PADUA VS ST.RAPHAEL16:00 JIONIUWANJA WA BWENI TETA
21/07/2013ST.MARIA DEL MATHIAS VS ST.ANTHONY WA PADUA 16:00 JIONIUWANJA WA BOKO
28/07/2013ST.RAPHAEL VS ST.MARIA DEL MATHIAS 16:00 JIONIUWANJA WA BOKO

Tuesday, May 21, 2013

JUMAPILI

MATANGAZO 

   JUMAPILI TAREHE 24/05/2013
KIGANGO CHA BOKO:
MISA YA 1 SAA 12:15-2:00
MISA YA 2 SAA 2:00-4:00
MISA YA 3 SAA 4:00-5:30
MIKUTANO.
Halmashauri ya Walei Kigango cha Boko watakuwa na kikao mara baada ya misa ya 2, Wajumbe wa mkutano huo ni viongozi wote wa JNNK, Kanda na Wenyeviti wote wa vyama vya kitume. ukiwa mjumbe usikose kwa maandeleo ya Kigango chetu.

JUMAPILI TAREHE 24/05/2013
KIGANGO CHA MT. RAFAEL MBWENI MALINDI:
MISA YA 1 SAA 1:00-3:00
MISA YA 2 SAA 3:00-5:00

MIKUTANO.

JUMAPILI TAREHE 24/05/2013
KIGANGO CHA MBWENI:
MISA YA 1 SAA 1:15-3:00
MISA YA 2 SAA 3:10-5:00

MIKUTANO.

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR